Unajua kwann diamond hajaperfom mwanza???
Watu wameshangaa diamond kutoperform mwanza lakini sababu ni hii hapa
Mgeni alikuwa ni wizkid kutoka Nigeria ambae wasukuma wengi walitamani kumuona,lakini kwa mtu anaejua sanaa na kufuatilia muziki ni kwmba wizkid na Diamond ni Level moja (wa kimataifa) sio yanga lakini
Wao waandaaji wanajua hata angekuja ku perform Diamond katika jukwaa ambao wamemleta wizkid kutoka Nigeria isingekuwa na umuhimu kwa wizkid kuwepo kwa sababu Diamond yupo juu kama alivyo wizkid
-So ilitakiwa diamond asi perform ili uwepo wa Mgeni ambae ni wizkid uonekane
-niliona hata kipindi wasanii wanatambulishwa kwenye press conference hakukuwa na msanii ambae anajulikana na Wizkid,Wizkid aliona wote waliopo mbele zake ni wasanii wadogo wadogo ambao wanatakiwa kujifunza kutoka kwake.
-Kama Diamond angekuwepo kwenye press conference Wizkid asingeomba atambulishwe diamond kwasababu anamjua vizuri sanaaaaa kama Shilole anavyomua nuh mziwanda hivyo Kusingekuwa na faida ya mgeni huyo,mgeni alitakiwa kuwa na watu ambao ni wa level za chini ili awape somo
-Siku chache zilizopita Alisikika WIZKID Akisema Kwasasa anasikiliza sana nyimbo ya DIAMOND FT P SQUARE -KIDOGO,umejiulza kwanini asikilizi nyimbo ya Rihana ya work work au Panda ya Designer?? ☺☺ Hasikilizi hizo sababu ni watu ambao wamemuacha mbali anasikiliza moto ambao unakuja nyuma yake kwa kasi ya 4G
-so kutokuwepo kwa Diamond ni heshima ya wizkid ili afanye show kwa Kujiamini akiwa na Underground Kwasababu Angekuwepo DIAMOND angekuwa na Mkubwa Mwenzake hivyo angekuwa na wasiwasi na Isingekuwa na maana ya Kumtoa Nigeria kumleta Tanzania
-NA NDO MANA HATA OLYMPIC INAMCHEZAJI MKUBWA AMBAE ATAWAONGOZA WENZAKE WANGEWEKWA WOTE WAKUBWA INGEKUWA NI WORLD CUP
-So fiesta ya mwanza ni Olympic na wizkid ndo msanii mkubwa ambae alitakiwa aongoze wadogo zake☺☺
-Ni sawa na Tanzania ikienda Olympic Ataenda SAMATA na Wale watoto wa Serengeti boys
MAFAHALI WAWILI HAWAKAI ZIZI MOJA
Nb:Niliona wasanii wanagombea selfie na Wizkid☺☺ Sasawangekutana na KANYE kama DIAMOND si ndo Wangetakwa Wasainiwe Migongoni
-OK TUENDELEE KUVOTE
Home
»
»Unlabelled
» Sababu iliyomfanya Diamond kutoperfom fiesta MWANZA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment