Wakati Yanga wakiwa kambini mjini morogoro wakijiandaa na mchezo wao muhimu wa ligi kuu dhidi ya mtani wao Simba utakaofanyika tarehe 29/4/2018 siku ya jumapili katika uwanja wa Taifa jijini dar es salaam.
Wachezaji wake watatu muhimu kwenye kikosi hicho wametoweka kambini hapo bila taarifa baada ya kutoka mazoezini jioni hii wakijiandaa na mchezo wao na simba wakiwa chini ya kocha wao msaidizi Shadrack Nsajigwa.
Taarifa rasmi ya kutoweka kwa wachezaji hao kambini humo haijafahamika bado ila jitihada zinaendelea kufanyika kwa benchi la ufundi la timu ya yanga pamoja na uongozi mzima ili waweze kujua nini tatizo la wachezaji hao kutoweka kambini humo.
Post a Comment