Manchester City wameamua kuacha kumfuatilia mshambuliaji wa Arsenal Alexis Sanchez. City wameona gharama ya kumsajili mchezaji huyo ni kubwa sana. Meneja Pep Guardiola pamoja na mmiliki wa klabu Khaldoon al Mubarak na maafisa wengine wa ngazi za juu wote wamekubaliana katika jambo hilo. Imeripotiwa kuwa mshahara anaodai Sanchez ungemfanya awe mchezaji anayelipwa zaidi kuliko wachezaji wote nyota wa City, kitu ambacho klabu imeona haiwezi kukifanya.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Titanium Wire | Titanium Art - TITanium Art - TITanium Art
ReplyDeleteTitanium Wire, an งานออนไลน์ art based on a series of graphite copper wire designs. This best titanium flat iron copper wire titanium security can be used as titanium bars an art base or even as an art base. smith titanium
d087u1cllbe864 japanese sex dolls,sex chair,Wand Massagers,couples sexy toys,finger vibrator,anal toys,vibrating dildos,wolf dildo,realistic vibrators v435c8kfbxg753
ReplyDelete