Pazia La Ligi kuu limefungwa rasmi leo huku Yanga wakitangazwa kuwa mabingwa wa Ligi kuu

Jumla ya mechi nane zilipigwa viwanja tofauti nchini na mechi zote zilianza mda mmoja

Simba wakicheza katika Uwanja wa Taifa waliibuka na ushindi wa bao 2-1 magoli ya Simba yakifungwa na Shiza Kichuya kwa penati na Ibrahim Ajib

Huku tukishudia Jkt Ruvu, African Lyon, na Toto African zikishuka mpaka daraja la kwanza

Matokeo mengine ya Lig kuu.

Mbao FC 1-0 Young Africans

Simba SC 2-1 Mwadui FC

Azam FC  0-1 Kagera Sugar

Mtibwa Sugar 3-1 Toto Africans

Majimaji FC 2-1 Mbeya City

Stand United 2-1 Ruvu Shooting

Ndanda FC 2-0 Jkt Ruvu

Tanzania Prisons 0-0 African Lyon

Post a Comment

 
Top