Aveva amesema wamejipanga kuhakikisha wanaliwezesha kila kinachohitajika benchi lao ili kuhakikisha wanatimiza malengo yao.
"Tumeanza vizuri na ninaamini tutamaliza vizuri kwa kuwa mabingwa tunataka kuboresha benchi letu la ufundi kwa kutimiza kila cha muhimu kinachohitajika," amesema Evans.
Post a Comment