Ranieri64 amekubali kuendelea kujikita king power atavuna £3m kwa mwaka⚽


Aseno kwa Bony wamtengea £30m,wao n kuchukua flop player tu

C.Palace £32m kwa Benteke⚽

UTD wapo kwenye radar za Kumuweka Bastian 32 kabla ya deadline,UTD IPO teyar kumbakiza MATA 28 n Januzaj21yrs kutolewa kwa mkopo⚽

Bluz baada ya kuona uwezekano wa Kalidou 25, umefeli wahamia kwa Msweden CB victor 22 anakipiga Benfica⚽

Sunderland wanamtaka McNair 21yrs⚽& pia Naismith 29

Bale hakuwa Norway Jana R.Madrid wakishinda UEFA super cup ,lkn alikuwa akiwafuatilia kupitia KIDEONI⚽

Morata alifurahia n wenzake selfie ktk dressing room⚽

Pogba n Lingard n mwendo wa selfie tu instagram⚽

K.P Boa10 anawasha moto Las palmas la liga⚽

Zidane amsifia Asensio kwamba alifanya maamuz mazur kubak Bernabeu kwa mcm mwngne,coz kiwango cha Jana n xhda dhd ya Sevilla⚽

*Baada ya kuweka rekodi ya dunia ktk uhamixho POGBA xx akili yke n kushinda Ballon d'or akiwa old Trafford*⚽linawezekana hata mm naamin

CTY mpk xx kutumia £161.59m⚽

& UTD 157.25m⚽

*hela itarud tu,vitu vizur vina hitaji gharama*⚽

Post a Comment

 
Top