Baada ya Hamisa Mobetto kubadilisha jina la account ya mtoto wake kutoka Tanzanian Baby na kumuita Abdul Naseeb_Tz , twitter ya Diamond Platnumz imewaka moto kwa kauli kali ya SIMBA Inayotajwa kumlenga Mwanamke fulani anayetafuta Umaarufu.

Diamond ameandika “BITCH IS DYING FOR FAME!!!!!” 

Post a Comment

 
Top