Kunako usajili
-Imedaiwa beki wa Southompton, Van Djik kaiambia Liverpool yenyewe ndo kipaumbele chake.
-Barcelona yahusishwa kumhitaji Ousmane Dembele toka Dortmund.
-Pepe athibitisha anajiandaa kutimka zake Real Madrid.
-Yaya Sanogo nae aweka wazi yuko mbioni kutimka Arsenal.
-imedaiwa Real Madrid imeandaa pauni milion 135 kwa Kylian Mbappe, taarifa zaid zimedai James atauzwa ili kufikia dau hilo.
-yaendelea kudaiwa Mohamed Salah anakaribia Liverpool, taarifa zaidi zimedai huenda mambo yote yakamalizika wiki hii.
-Sevilla yadaiwa kumhitaji Nolito wa Man City kwa mkopo.
-Joe Hart wa Man City, Handanovic wa Inter Milan na Donnaruma wa AC Milan wadaiwa kuwa kwenye list ya wataomrithi De gea endapo atatimkia Real Madrid.
-Liverpool nayo yahusishwa na Lacazate.
-Everton yahusishwa na Jamie vardy.
-Xhedan Shaqiri kubaki Zake Stoke City.
-Imedaiwa man utd itakomaa na usajili wa Griezmann mpk Mwisho.
-Imedaiwa Mesut Ozil huenda akarejea Schalke.
-Morata anaongoza chati ya wanaohitajika man utd.
-Alexandre Lacazate asema UEFA ni muhimu ila sio kila kitu.
-imedaiwa Fernando Torres yupo ktk mazungumzo na klab ijulikanayo kama Queretaro ya huko nchini Mexico.
-Arsenal yaiambia Psg msijisumbue Alexis haendi popote.
-kiungo wa Tottenham, Christian Ericksen asema si wachezaji wote huitosa Barca ila atakaa Spurs zaid.
5. Tumalize na Vijineno na Povu
-Arda Turan haendi popote asema Wakala wake.
-kuhusu Lindelof na mambo ya usajili Manchester United aulizwe Ed Woodward asema Jose Mourinho.
-Rais wa zaman wa Real Madrid anayefahamika kama Ramon Calderon asema Madrid haiitaj kusajili kwani imetimia. Asema kuwauza James, Morata kutaleta Simanzi Bernabeu.
-Wenger asema Michael Carrick amekuwa akibaniwa sifa anazostahili. Amsifia kwelikweli huku akiweka bayana alisikitika alipomkosa 2004.
-nae mlinda lango wa Juventus Gigi Buffon asema hajakata tamaa ya taji la Uefa kwani angalau bado ana msimu ujao.
Post a Comment