KIUNGO mkabaji na mchezaji wa kutegemewa wa Zesco United, Meshack Chaila yupo katika hatua za mwisho kukamilisha usajili wake kutua Young African SC! Chaila raia wa Zambia anasifika kwa kucheza soka kazi, mzuri katika ulinzi na kuharibu mipango ya timu pinzani.

Yanga SC imepigana vikumbo na vilabu vya Misri kuwania saini ya nyota huyo, Chaila amewekewa mezani mkataba wa miaka 2 na huenda Yanga wakakamilisha usajili wake mapema wiki hii.

Post a Comment

 
Top