Baada ya ushindi wa Donald Trump wasanii wengi wenye asili ya kiafrika huko Ulaya hawajapendezwa na ushindi huo kiasi kwamba wengi wao wamepanga kufanya maamuzi magumu.

Hii ikiwa ni pamoja na kuhama kabisa Marekani na kusaka makazi mengine mapya. Lakini mpaka sasa hakuna msanii wa muziki ambae ametoa tamko lolote la kuihama marekani.

Lakini leo rapa Snoop Doggy yeye alionesha ishara japo kwa kuposti picha ya watoto wake kwenye mtandao wa kijamii wa instagram na kuandika caption kwa neno la kiswahili.

Neno hilo lililosomeka “Familia”. Kwa wataalamu wa lugha neno familia linatumiwa na Lugha mbili tu nazo ni Kiswahili na Kihispania.


Lakini ukiangalia uhalisia Je! Snoop Doggy anaweza akahama Marekani kwenda hispania ambako ndiyo kumejaa ubaguzi wa rangi?

jibu linakuja hapana so huenda kweli akawa mgeni wetu hapa Tanzania kwani sehemu pekee kwa wamarekani weusi kukimbilia ni Afrika.

Post a Comment

 
Top