Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu ninaweza nikasema ni mwanamke wa kwanza kumpongeza Diamond platnumz kwa ushindi wa Tuzo 3 za Afrima alizoshinda usiku wa jana kuamkia leo.

kupitia Ukurasa wake wa Instagram ndio umethibisha jambo hilo, akiwa amepost picha na kuiandikia maneno haya..

“Makofi matatu kwa tuzo tatu ….”Tanzania ‘s pride..” sema picha hii kali saanaaaa…utasema sio wa tandalee (Sorry Bro)…Congrats once again”.

Kwa ujumbe huo ni dhahiri hakuna tena tofauti ambazo awali zilikuwa zikiendelea chini chini kati ya wawili hao kwa muda mrefu sasa, baada ya kubwagana.

Post a Comment

 
Top