Siku ya Jumatatu, maelfu ya wanawake wakiwa wamevalia nguo nyeusi jana, walifanya maandamano makubwa katika maeneo/mitaa mbalimbali nchini Poland kupinga pendekezo (zuio) lililotolewa na serikali la kuzuia utoaji wa mimba (abortions).
Wanawake hao walidai kuwa pendekezo hilo linatishia haki yao ya uzazi (Productive Rights).
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment